TAZAMA Waliochaguliwa Kidato cha Tano na Vyuo 2024

Kidato cha Tano na Vyuo 2024

Waliochaguliwa Kidato cha Tano na Vyuo 2024

Wahitimu 188,787 kati ya 197,426 waliofaulu mitihani ya kidato cha nne, wamechaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano pamoja na vyuo mbalimbali kwa mwaka 2024.

TAZAMA HAPA

ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA
GEITA IRINGA KAGERA
KATAVI KIGOMA KILIMANJARO
LINDI MANYARA MARA
MBEYA MOROGORO MTWARA
MWANZA NJOMBE PWANI
RUKWA RUVUMA SHINYANGA
SIMIYU SINGIDA SONGWE
TABORA TANGA

 ZINGATIA:  Muhula wa Kwanza ni Julai 1 Mwaka 2024 kwa waliochaguliwa kidato cha tano 2024 , Na kwa waliochaguliwa kwenda Vyuo, Watapewa Maelekezo Maalumu ya namna ya Kujiunga Na Vyuo Hivyo.